Tuesday 8 October 2013

Harambee....

 Ilifanyika katika ya Mhashamu Baba Askofu Eusebius Nzigirwa msaidizi wa jimbo kuu la Dar es salaam tarehe 06/10/2013 ,
 

 
 Ni harambee ya kanisa hili la Katoliki lililopo Kibiti linaloendelea kujengwa.
 
 Baada ya kufika mgeni rasmi Mheshimiwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Baba Askofu alifungua shughuli kwa sala takatifu ya kubariki shughuli nzima mwanzo mpaka mwisho
 
 Kisha Father Lupindu alitoa taarifa ya kanisa linavyoendelea kujengwa mpaka lilipofikia sasa na kiasi gani kinatakiwa ili kumalizia finishing.
 
 Mgeni Rasmi Waziri Mkuu aliongea na kutoa mwongozo wa Harambee hiyo.
 


 Kisha Waziri Mkuu alimwita Mc Peter Mwampondele na Father Lupindu kuwa wagawe fomu kwa wote walioudhulia tayari kwa kuchangia chochote walichonacho.
 






 
 
 Na fomu ziliendelea kujazwa
 
 Alikuwepo pia Mheshimiwa Waziri Mary Nagu (MB) na Mheshimiwa Reginald Mengi
 
 
 
 Meza kuu nao walijaza fomu hizo
 
 Mc Peter akipewa mwongozi na Baba Askofu
 


 Meza ya mahesabu waliendelea kuweka kumbukumbu vizuri kwa fomu zilizojazwa
 






 Mc Peter akipewa sifa na Waziri Mary Nagu kwa kazi nzuri anayofanya
 




 Mc Peter na Father Lupindu wakipewa mwongozo na waziri mkuu.
 




 Mc Peter wakijadiliana na Mheshimiwa Reginald Mengi.
 
 Mc Peter wakijadiliana na Mheshimiwa Reginald Mengi.
 
 Mc Peter wakijadiliana na Mheshimiwa Reginald Mengi.
 




 Kisha Mke wa Waziri Mkuu Mama Pinda alimwita Father Lupindu kumpa zawadi ya kumpongeza kwa kazi nzuri anayofanya.
 
 







 Ambapo alikabidhiwa box la Rozari
 
 Waziri mkuu akitoa taarifa ya harambee hiyo ambapo ilihitajika milioni mia mbili ili kumaliza ujenzi wa kanisa kubwa la Kibiti na ilipatika yote kwenye harambee hiyo...



 Kisha Father Lupindu nae aliwapa zawadi meza kuu ya vikombe ambavyo hubadilika rangi pindi ukiweka maji ya moto
 








 Hapa walijaribu kuweka maji kwenye kikombe cha waziri mkuu
 
 Hapa kikibadilika rangi
 


 Hapa father lupindu akiwaonyesha waheshimiwa
 
 Waziri mkuu alimwita Reginald mengi nae kumpa zawadi ya kikombe kwa kufika kwake kwenye harambee hiyo..
 


 Pia alimpa zawadi ya kikombe mheshimiwa waziri Mary Nagu
 




 Waziri Mkuu alimfuata katibu Mkuu kiongozi mstaafu wa ofisi ya rais Mzee Rupia kumpa zawadi ya kikombe pia.
 


 Kisha waziri mkuu alikata keki iliyojengwa kwa muundo wa kanisa baada ya malengo ya haraambee kukamilika.
 
 Hapa Mhashamu Baba Askofu Nzigirwa akitoa sala ya kwenda meza kuu ya chakula.
 
 Hapa shughuli ilifika tamati na waheshimiwa walianza kutoka

 
 Mzee Reginald Mengi nae alimpongeza Mc Peter kwa kazi nzuri sana.
 


 Na hapa Mc akiagwa na Mheshimiwa waziri Mary Nagu
 
 Waziri mkuu na Mkewe mama Pinda wakitoa neno kwa waumini waliohudhuria harambee hiyo.
 
 Waziri mkuu akiwaaga Masister wa meza ya mahesabu
 


 Waziri mkuu alimwambia Mc Peter Bravo kwa kuendesha harambee hiyo vizuri sana.
 
 




 

2 comments:

  1. safi sana ...hongera kijana kwa kazi nzuri

    ReplyDelete
    Replies
    1. Mc Peter Mwampondele6 November 2013 at 20:12

      hahahahahaha thanks comrade, unajua shughuli nzito kama hizo inabidi kutunza heshima kwa umakini wa hali ya juu.

      Delete

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...